Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16343631356919733.jpg
 
Tumeumbwa hivyo mamaa!!
Wewe mimba moja miezi 9,mimi naweka mimba 9 kwa siku moja.
Na kesho naeza endelea kugawa dozi.

Jogoo mmoja,mitetea 7 mpaka 12.
Huko maporini ndo usiseme.

Wanaume Oye!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau tu kuwa pia mwatakiwa kula kwa jasho.
 
Byutifu kapo [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji8][emoji8][emoji8][emoji122][emoji122][emoji122]

View attachment 1974997
Unafanya hivi kesho unakwaruzana na mamlaka unapigwa mvua ukipewa chance ujitetee badala angalao useme mama yangu mzee sana ananitegemea unaishia kusema nina mchumba nimemchumbia nitakosa kumuowa ukifikiria wengine watakavyomfaidi.

Utetezi wa hovyo kabisa ulikuwa!!!
 
Back
Top Bottom