Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Shauri yakoAngalia tenaView attachment 1976126
Long time no see we mdada welcome again
Usisahau tu kuwa pia mwatakiwa kula kwa jasho.Tumeumbwa hivyo mamaa!!
Wewe mimba moja miezi 9,mimi naweka mimba 9 kwa siku moja.
Na kesho naeza endelea kugawa dozi.
Jogoo mmoja,mitetea 7 mpaka 12.
Huko maporini ndo usiseme.
Wanaume Oye!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaemdai kisha mama.
Dying is to die together.
Unafanya hivi kesho unakwaruzana na mamlaka unapigwa mvua ukipewa chance ujitetee badala angalao useme mama yangu mzee sana ananitegemea unaishia kusema nina mchumba nimemchumbia nitakosa kumuowa ukifikiria wengine watakavyomfaidi.
Benki imefungwa?