Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Sasa hii inakuwaje learned brothers!?







Jamani keki tu hii nayo inifanye nilimwe ban tena? Nitaondoka JF mazima sasa kwa kweliHii kali sana.. Ila Shimba hukomiii?![]()

Ban za kumwaga kwa sasa ziko kule kwenye uzi wa pisi kali. Ukiweka picha ya binti kavaa bikini tu unalimwa ya siku 7. Siendi huko tena hata kwa bunduki!Hahahaha hapana kaka natania tuu
Astakafiru... Tutamsaidia uleziKwakweli Hakimu angemsikiliza Sabaya kuacha hii kitu mtaani ni hatariView attachment 1975482
