Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Jidanganye!
Hivi vitakua ni hivi vichalii miaka 17/18.
Mmehamia na huku kutafuta watu wakusabuskraibu,ule ujinga mnaotuwekea huko you tube watasabskraibu mafala tu.Haya ni maajabu. Tazama panya wanavyoabudiwa. Waumini wanaamini ukimuona panya mweupe unabarikiwa zaidi![]()
Usisahau kugusa neno SUBSCRIBE ili kupata na kujua maajabu zaidi duniani
Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Kabla ya kutuma meme inayohusu malastborn unalazimika kumtumia katibu wa chama cha malastborn Tanzania(CHAmaLaTA) ndugu ShimbaYaB ili aihakik km haiend kinyume na yalioainishwa kwenye katiba ya (CHAmaLaTA) ambayo haijaandikwa
Yaani nyieKabla ya kutuma meme inayohusu malastborn unalazimika kumtumia katibu wa chama cha malastborn Tanzania(CHAmaLaTA) ndugu ShimbaYaB ili aihakik km haiend kinyume na yalioainishwa kwenye katiba ya (CHAmaLaTA) ambayo haijaandikwa
,mnataka kudeka na humu
Kwa bakht mbaya ishu ya kuchomoka na mpango mzima ipo nje ya uwezo wakoYaani nyie,mnataka kudeka na humu
,sisi mafirst born tungechomoka na kizazi msingekuwepo![]()
Endeleeni,kumbe hadi mnakachama kenuKwa bakht mbaya ishu ya kuchomoka na mpango mzima ipo nje ya uwezo wako
,