Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jidanganye!
-5994471643436659847_120.jpg
 
Haya ni maajabu. Tazama panya wanavyoabudiwa. Waumini wanaamini ukimuona panya mweupe unabarikiwa zaidi



Usisahau kugusa neno SUBSCRIBE ili kupata na kujua maajabu zaidi duniani

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
Mmehamia na huku kutafuta watu wakusabuskraibu,ule ujinga mnaotuwekea huko you tube watasabskraibu mafala tu.

Nyie form four ya 2012 nyie,Mungu anawaona.
 
Kabla ya kutuma meme inayohusu malastborn unalazimika kumtumia katibu wa chama cha malastborn Tanzania(CHAmaLaTA) ndugu ShimbaYaB ili aihakik km haiend kinyume na yalioainishwa kwenye katiba ya (CHAmaLaTA) ambayo haijaandikwa
Yaani nyie,mnataka kudeka na humu

,sisi mafirst born tungechomoka na kizazi msingekuwepo
 
Back
Top Bottom