Ushaskia masai kafa mjini..?!Hakuna urijali hapo![]()
Naomba nije PM mtumishi nikunong'oneze kakitu. Ubazazi bado napambana nao. Niombee Mtumishi![]()
BabuBado unampenda ex eeeh!?
Mliachanaje?
hicho nacho ni kituko
Ha ha ha! Rigor Mortis!Two days? Ni six hours tu watu wameshaanza kunywa na beche linachambuliwa. Hata rego mortis bado watu wameshalewa eti celebration of life.
View attachment 1967008
Pole Sana babuMiaka minne sasa lakini sijaweza kufuta namba ya mama; na bado inafanya kazi. Lakini ndo hivyo...kimyaaa![]()


Hao hawaendani...nati kubwa screw ndogo...inatakiwa nati ndogo, screw kubwa![]()






looooohWachacheHata sasa bado ipo. Just find your soulimeti mjukuu![]()

Sass hivi sijui wanasemaje wenyeweSasa hivi ikoje?![]()
,kiufupi mambo yamebadilika