Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,384
Makanisani huko nako mhh!!!
Na ulale kweli mjukuu. Nikikukuta bado unazunguka mitandaoni cha moto utakiona!


nimeaga tokea saa mbili



Huna net?nimeaga tokea saa mbili
Babu,mmbu![]()


. Hapa Yutong tupa kule 






Tangu lini mwanaume wa Kibongo akakosa kasoro kwa mwanamke?Kitambi kwa mbali nakiona

Kijana ana akili sana halafu Myahudi.Monopoly ni mbaya. Dogo kashikilia platforms zinazotumiwa na watu karibia bilioni 3+ (IG, FB, WHP). Si ajabu hata protokali za usalama ni zile zile kwa hivyo ukivunja ngome moja unaingia katika platforms zote. Naona tayari wanamkoromea wabunge wanamkoromea aivunje vunje FB na auze baadhi ya entities. Na mpango wake wa kuanzisha IG kwa ajili ya watoto tu umepingwa vikali mpaka ameachana nao!
Wayahudi ndo wanatawala dunia mkuu. Wametawala sana kwenye mabenki, biashara, filamu, tekinolojia na mambo ya habari na maarifa. Taifa teule la Mungu.Kijana ana akili sana halafu Myahudi.