Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Makanisani huko nako mhh!!!
IMG-20211005-WA0078.jpg
 
Monopoly ni mbaya. Dogo kashikilia platforms zinazotumiwa na watu karibia bilioni 3+ (IG, FB, WHP). Si ajabu hata protokali za usalama ni zile zile kwa hivyo ukivunja ngome moja unaingia katika platforms zote. Naona tayari wanamkoromea wabunge wanamkoromea aivunje vunje FB na auze baadhi ya entities. Na mpango wake wa kuanzisha IG kwa ajili ya watoto tu umepingwa vikali mpaka ameachana nao!
Kijana ana akili sana halafu Myahudi.
 
Back
Top Bottom