Kama hayo hayo lakini yamefunikwa gubigubiPicha haijafunguka kwenye Tecno yangu. Ni yale mambo yetu ama?
View attachment 1963837

Mpaka sasa hakuna aliyeitikaWape salamuView attachment 1963845
Oooh kumbe..!Bila kupoteza biti:
"Huyo mwana namfahamu. Hilo Range walipewa na mama mkwe siku ya harusi yao. Mwana alibahatisha akaoa kwenye familia ya maana"
Na ba mjengo hana habari keshajilia vyake kwingine hukooooHalafu kategesha utamu kweli..halafu kategesha mambo yote!![]()

Utapata dhambi
,Namshusha akapande gari ya huyo mwanaume
Japo ni risk kwa mtoto ila nimeipenda