242585190_203578598395350_7383222664303408122_n.jpg
 
Mkuu, mjukuu wangu Mawardat tayari kapata babu mwingine au inakuwaje sasa? What's going on?

Halafu mkuu we si umeshaitwa huko kwa Wanyaki huko sijui ukafundishwe kula maparachichi huko? Dah!
Mkuu naomba uwe na amani, kwa umri huu naweza kulala na binti hata mwaka mzima na Babu miye nisishtuke 😂

Kwahiyo nimwondoe hofu mawardat yupo mikono salama.

Ofa ya yule Mnyaki imekuwa hewa, nimekwenda kwao 5 times ananizimia Simu, bora nijikite na safari za Nyasa tu huenda zikazaa matunda in future 😂
 
Mkuu naomba uwe na amani, kwa umri huu naweza kulala na binti hata mwaka mzima na Babu miye nisishtuke

Kwahiyo nimwondoe hofu mawardat yupo mikono salama.

Ofa ya yule Mnyaki imekuwa hewa, nimekwenda kwao 5 times ananizimia Simu, bora nijikite na safari za Nyasa tu huenda zikazaa matunda in future
Asante kwa kunitoa wasiwasi mkuu. Kaache haka kajukuu kangu. Bado hakajaijua dunia hii inavyokwenda. We komaa huko kwa Wanyaki huko ufaudu maparachichi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom