wazili mkuu
Member
- Mar 19, 2019
- 36
- 33
Chan'gombe
Chan'gombe
Nikitaka kusema habari za Asubuhi kwa Kinyaki nasemaje? Isije kuwa Shule yako Haijasajiriwa bure [emoji12][emoji12][emoji87][emoji1322][emoji1322]
Ughonile.........
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao wanaotoka dar kuja songea hawarudi kwao bila kuja nyasa[emoji41]Nyasa imekuwa Mjini tangu lini? Anyways, nitakuja Mjukuu though could make sense iwapo nitakuvalisha.
Usiwe na hofu na Babu, nimekabaki na nguvu za kushika Mkongojo tu kutembelea [emoji85][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
Unaona unatoa siri sasa[emoji6][emoji854]View attachment 1949396
Walahi hufiki hata njiapanda[emoji872][emoji872]View attachment 1949397
Angalia hapo pembeni kulia. Hayo matundu ni makubwa. Fundi Maiko na mdogo wake watatoka tu tena kirahisi bila shida [emoji16][emoji16][emoji849][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1948677
RIP mpambanaji [emoji1545][emoji1545]
Jamanii 🙆😅Bado hujaruhusiwa kuanza kuuliza maswali[emoji188][emoji188][emoji188]
Seems huko pamechangamka kulingana na maelezo yako, can't wait to join you there😛[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hao wanaotoka dar kuja songea hawarudi kwao bila kuja nyasa[emoji41]
Naomba umpe bibi ooooh hiyo ni kazi ya bibi kunivisha[emoji23]
Mkuu, mjukuu wangu Mawardat tayari kapata babu mwingine au inakuwaje sasa? What's going on?Seems huko pamechangamka kulingana na maelezo yako, can't wait to join you there[emoji14]
Navyomjua Bibi yako hawezi kukufundisha ukaweza, hiyo kazi niachie miye Mjukuu. Nikuhaidi kukupa mafunzo adhimu yatakayokuacha na kumbukumbu nzuri ya Babu [emoji85][emoji85][emoji1729][emoji1322][emoji1322]
insha'Allah [emoji120][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
View attachment 1949578
Hii fasheni ya ujenzi sijawahi kuielewa kabisa yaani. Huwa wanadhani kuwa ni mapambo ama?Fundi Maiko kafiwa kaacha vijana wake hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1949583