FB_IMG_1632394561732.jpg


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
hao wanaotoka dar kuja songea hawarudi kwao bila kuja nyasa

Naomba umpe bibi ooooh hiyo ni kazi ya bibi kunivisha
Seems huko pamechangamka kulingana na maelezo yako, can't wait to join you there😛

Navyomjua Bibi yako hawezi kukufundisha ukaweza, hiyo kazi niachie miye Mjukuu. Nikuhaidi kukupa mafunzo adhimu yatakayokuacha na kumbukumbu nzuri ya Babu 🙈🙈🤸🏽🏃🏻🏃🏻
 
Seems huko pamechangamka kulingana na maelezo yako, can't wait to join you there

Navyomjua Bibi yako hawezi kukufundisha ukaweza, hiyo kazi niachie miye Mjukuu. Nikuhaidi kukupa mafunzo adhimu yatakayokuacha na kumbukumbu nzuri ya Babu
Mkuu, mjukuu wangu Mawardat tayari kapata babu mwingine au inakuwaje sasa? What's going on?

Halafu mkuu we si umeshaitwa huko kwa Wanyaki huko sijui ukafundishwe kula maparachichi huko? Dah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom