Uko sahihi. Wanakulana balaa!
Yap! Enzi zetu ukiwa nayo hii - Phoenix mpya kabisa ukaitia na madoido ya hapa na pale aisee mademu ungewakunywa tani yako...mpaka wa vijiji vya jirani yaani!
Mbona yako sijakosea hata siku moja?
Wasukuma bwana!!
Na kwa kukosea namba hawajambo![]()


Wanaanzaga hivyo hivyo. Just wait and see!Mbwembwe tu hizo.
Akiizoea Ikulu ndiyo naweza kuwa na kitu cha kusema
Hili litoto likikua liende JWTZ hili. Litatufaa sana hili

Tena unalo!Mmh leo mbona nimelianzisha![]()















Ukiona huu utopolo piga mimba binti yao halafu relax. Watakutafuta tu na haya yote hayatakuwepo!
