mkuu umenichekesha kishenzi yaan na pia umenkumbsha juzi nlikuwa mtaani na washkaji kuna jamaa akaja kuchukua mkongo kwa jamaa fulani maarufu wa izo mambo aseeee nilimuonea huruma mwanamke anaeenda kukutana nae maan huyo jamaa anavuta ganja Sasa ukijumlisha na vumbi si vita ya 3 hyo anayoenda kuianzisha
mkuu umenichekesha kishenzi yaan na pia umenkumbsha juzi nlikuwa mtaani na washkaji kuna jamaa akaja kuchukua mkongo kwa jamaa fulani maarufu wa izo mambo aseeee nilimuonea huruma mwanamke anaeenda kukutana nae maan huyo jamaa anavuta ganja Sasa ukijumlisha na vumbi si vita ya 3 hyo anayoenda kuianzisha