WAFRIKA NA UCHAWI HUWAAMBII KITU.

Mashabiki wa timu ya VRA Youngsters ya nchini Ghana, wakiwa wamewabeba mgongoni wachezaji wa timu yao hiyo kuingia uwanjani ili kukwepa kile wanachodai uchawi waliotegewa na wapinzani wao Sokondi Wise Fc.

Pamoja na jitihada zao hizo lakini timu hiyo ilicharazwa bao 3-0.
FB_IMG_1631709325372.jpg
 
WAFRIKA NA UCHAWI HUWAAMBII KITU.

Mashabiki wa timu ya VRA Youngsters ya nchini Ghana, wakiwa wamewabeba mgongoni wachezaji wa timu yao hiyo kuingia uwanjani ili kukwepa kile wanachodai uchawi waliotegewa na wapinzani wao Sokondi Wise Fc.

Pamoja na jitihada zao hizo lakini timu hiyo ilicharazwa bao 3-0.
View attachment 1939209
Huo ndio ulikuwa uchawi wenyewe sasa.. Watu wanaingia uwanjani wao wanawabeba migunduni wakati mingine haijachambwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom