Behat
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 602
- 2,181
Pesa ya kusukia 50,000/
Unatuma 300 hata andazi hupati
Mtoto wa kislam wew!!!,nywele za 50k ni aina gan hzo!!?
Pesa ya kusukia 50,000/
Unatuma 300 hata andazi hupati
Aseee,rikiboi
founder & ceo of _______View attachment 1938955
SawaRudisha kale ka avatar ka mwanzo
Wanasemaga hao wanaosukaga hizo nyweleMtoto wa kislam wew!!!,nywele za 50k ni aina gan hzo!!?
Ulikua sahih kwa asilimia khamsin
A big stomach = weak abdominal muscles!
Huo ndio ulikuwa uchawi wenyewe sasa.. Watu wanaingia uwanjani wao wanawabeba migunduni wakati mingine haijachambwaWAFRIKA NA UCHAWI HUWAAMBII KITU.
Mashabiki wa timu ya VRA Youngsters ya nchini Ghana, wakiwa wamewabeba mgongoni wachezaji wa timu yao hiyo kuingia uwanjani ili kukwepa kile wanachodai uchawi waliotegewa na wapinzani wao Sokondi Wise Fc.
Pamoja na jitihada zao hizo lakini timu hiyo ilicharazwa bao 3-0.
View attachment 1939209
Uto fcWazee wa mila View attachment 1939231
Ikirudi pancha puuu au swiiiiiImetoka hiyo View attachment 1939249