tena hii kwa waajiri ndio inakuwaga chungu kweli ukiwaambia ukweli kuhusu maamuzi yao mabovu
Walking dead au..?

Napendekeza ujengewe bonge la mnara hapo karibu na soko la Uyole au kule Mwakaleli karibu na kituo kikuu cha polisi. Unastahili![]()
Hii ndo hali inayotokea kichwani wakati unazurura tu huna mahali maalum unapokwenda halafu ukafika njia pandaKazi ni kwakoView attachment 1937174

I like this. Shwaini zao kwa presha wanazotupa. Kula mbususu kumegeuka kuwa kama homework na siyo burudani



Marahaba aisee. Kuleta ugoro kwangu ndo umekataa kabisa ama?Wakuache babu
Babu shikamoo
Ukibahatisha ile nene iliyoumuka kama mkate wa bofulo halafu ina joto joto na mafuta mafuta ya asili; na mwenye nayo mweupe mweupe hivi ngozi laini mwili tipwa tipwa kafungasha uwiii mbona utakuta tu umeshaanza kuongea na kuapa bila kupenda?






