KimesanukaNa anaendaga kazini usiku na anarudi usikuView attachment 1936479
Baba anaendaga kazini usiku anarudigi na mihelaaa ngooo na mavitu mapyaKimesanuka

Karanga mbichi situmii sijawahi zitafuna,mie mchele na kale ka harufu ka hirikiLazima ulilala mashineniView attachment 1936517


😂 😂 😂 😂 😂 😂Huyu wa kulia ana wivu,atakuja kumrestisha mwenzie soon.
How do they do their thingsNa mimi pia najiuliza hilo swali unalojiuliza wewe....

Ila nyi wafrika mpaka hotelini mnalalamika, nyama ndogo, ongeza.Suala la nyama sio Afrika tu mkuu![]()
Akiba haiozi.







