Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,870
- 136,503
Maumivu yake siyo ya kitoto

Maumivu yake siyo ya kitoto

Siku hizi hakuna mapenzi ya kweli acha kudanganya watu mtumishi!Nauliza tu?View attachment 1936400
Mimi nimepata neema hiyo Mtumishi. Mungu ni mwema, na wewe utayapata tu ukifika 77Siku hizi hakuna mapenzi ya kweli acha kudanganya watu mtumishi!
Kwa nini wewe usiweke vocha yako mpaka utegemee mwanaume?Kumuacha unasubiri nini?? Mkeka uchanike auView attachment 1936445
Akili kumkichwa![]()
Teh mchepuko ana majibu ya kukata mainiMaumivu yake siyo ya kitoto![]()
BabuKwa nini wewe usiweke vocha yako mpaka utegemee mwanaume?
. Jamani si Mabaharia wanasema pesa ndio nguvu za kiume
Sasa kama hana hata ya vocha khaaaa! Kitandani si upepo tu






