Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Tutumiane,na mie nitumie hiyo kitu yako, nitakuambia kama ni kibamia au ni karoti
FB_IMG_16315088389917130.jpg
 
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe BETTY

JOHN: Amka twende jogging mke wangu?
BETTY: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa?

JOHN: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya.
BETTY: Kwa hiyo una maana mi mgonjwa?

JOHN: Basi yaishe endelea kulala
BETTY: Kwa hiyo unaniona mi mvivu sana sio?

JOHN: Hujanielewa mpenzi wangu sikuwa na maana hiyo baby
BETTY: Kwa hiyo mie mjinga mpaka nashindwa kukuelewa?
JOHN: Jamani mi sijasema hilo
BETTY: Kwa hiyo mie muongo?

JOHN: Chonde tusiendeleze haya asubuhi namna hii
BETTY: Kwa hiyo mie ndio naendeleza ugomvi?

JOHN: Sikia we lala mie naenda jogging.
BETTY: Ndio zako hizo mambo yote unafanya peke yako hunishirikishi"

JOHN: Unajua nimeanza kusikia kizunguzungu
BETTY: Unaona nikiongea kidogo unakimbilia kuumwa, mbinafsi sana wewe...

JOHN: Basi ngoja tu nilale siendi jogging
BETTY: Kwahiyo ulikua unanijaribu?


Wanawake Mungu anawaona
 
Back
Top Bottom