Yaani huyo mzee hapo anawaza,ikitokea akarudi in power agein,hao jamaa atawachinja kwa mikono yake!!!
Asante mkuu...Pole sana![]()
Picha kwenye jukwaa la warembo kule,picha ya kawaida tu ukifananisha na wenzangu wanaoshusha vitu vizito kila dkk ila wameona mimi ndo kunionea na BANSababu ilikuwa nini
