Huyu akipepesa kwa haraka sana anaweza kupaa!!















Huna haja hata ya kuendelea, hii picha yako ya mwisho ni udhalilishaji! Ishia tu hapo hapo!!
Mwaka 2006 nikiwa ndani ya Mohammed Trans naelekea Mwanza ilinikuta kama hii sema ilikuwa nafuu kidogo, ilikuwa tairi za upande wa kushoto stadi zote zilikatika na tairi kukimbilia mabondeni huko!!















Katika hali ya kawaida paka anaweza hata kutembelea miguu ya mbele, paka ana michezo zaidi ya mtoto wa binaadamu! Kusimamia kwa miguu ya nyuma ni kitu kidogo sana kwake!!Hivi katika hali ya kawaida paka anaweza kusimama hivi?


Hawa ni hao waliofurushwa Msumbiji.
Ila wewe jamaa!!!
Wabongo hawachelewi dah!