Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG-20210825-WA0103.jpg
 
Mwaka 2006 nikiwa ndani ya Mohammed Trans naelekea Mwanza ilinikuta kama hii sema ilikuwa nafuu kidogo, ilikuwa tairi za upande wa kushoto stadi zote zilikatika na tairi kukimbilia mabondeni huko!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom