Vituko mitandaoni. Tupia chako

Hivyo nitaviona tu Inshallah! Halafu ni wewe tu mjukuu wangu unanichelewesha. Please olewa ningali hai ili nivione vitukuu vyangu jamani. Mabaharia wapo wengi tu hata humu JF. Chagua mmoja mi nifurahi pulizi
Babu mabaharia sio watu wazuri,wanataka nizae kabla ya ndoa
,si watanikimbia,halafu wake wanicheke eti single mom
 
Mchungaji wa kanisa la Zion nchini Zambia James Sakara, aliyewaomba baadhi ya waumini wake wamchimbie kaburi na kisha wamzike akiwa hai kwa madai ya kwamba baada ya siku tatu angefufuka kama Yesu, amekutwa akiwa amefariki dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…