Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,930
- 136,681
Ndio mama zetu hao,Ukijibu unazarau
Ukikaa kimya jeuri,kiburi
Ndio mama zetu hao,Ukijibu unazarau
Wewe ni mgeni nini?Duh! Kumbe tumbo linakuwaga hivi![]()
Ee,anaeweza kusonga ugali vizuriSafi sana mamaa. Nitazingatia sana ushauri wa baba kwenye kuchagua mke!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mama zetu hao,Ukijibu unazarau
Ukikaa kimya jeuri,kiburi
Natamani ningeelewa
Kama ya kuzamia aende malindi akazamieSiyo chunvi hiyo, chunvi ya 'kuizamia'
![]()

Kuwa mama ni kazi sana,kulea kazi,kila mtoto na tabia yakeHahaha subiri na wewe ukiwa mama
