Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Na chaja haupati khaa!!
FB_IMG_16292034352902279.jpg
 
Sema hiyo mitumba ndo inakimbiza aisee!!
Ni mademu wachache sana tunaowaona wazu huku mitandaoni na mitaani ambao hawana watoto. Sisemi kupata mtoto ni laana,hapana,sema nao wasituringie kiviiiiile ilhali ni mitumba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuta dada ni mtumba halafu anakuuliza namba yangu umetoa wapi na anakuwa mkali kabisa[emoji16][emoji16]
 
Kuna mtu alikulipia bill labda, akaona isiwe tabu aje akuchukue tu kabla hajaamia kabisa hapo [emoji16]
Hapana,nilimchukua na dogo kabisa nilikuwa naishi nae

Vile tu mama hapendi niishi mbali nae bila sababu[emoji3]

Nilimuuliza kwanini umenifuate?? Akaniambia Silali nawawaza tu wanangu[emoji7]
 
Back
Top Bottom