Vituko mitandaoni. Tupia chako

WANAFANYA UPASUAJI MAHOSPITALINI KURUDISHA BIKRA


DIRA YA DUNIA – AGOSTI 16, 2021

• Baraza la usalama lakutana kujadili hali ya mambo nchini Afghanstan huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akionya Afghastan isitumike tena kama makaazi ya magaidi...

• Tume ya uchaguzi nchini Zambia imemthibitisha rasmi mgombea wa upinzani Hakainde Hichilema kuwa mshindi wa kiti cha urais.

• Nchini Tanzania idadi ya wabunge waliojitokeza kwajili ya kupewa chanjo Jijini Dodoma yasemekana kuwa ndogo -

Mamlaka moja ya matibabu nchini Uingereza imeitaka serikali kupiga marufuku upasuaji wa ubikra , huku tukiuliza , Ni kwanini baadhi ya wanawake hutafuta upasuaji wa kurejesha ubikra?

Leo Jumatatu katika Dira ya Dunia , uko nami Anne Ngugi na mwenzangu ni Martha Saranga ni kuanzia saa kumi na mbili na nusu jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…