• Baraza la usalama lakutana kujadili hali ya mambo nchini Afghanstan huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akionya Afghastan isitumike tena kama makaazi ya magaidi...
• Tume ya uchaguzi nchini Zambia imemthibitisha rasmi mgombea wa upinzani Hakainde Hichilema kuwa mshindi wa kiti cha urais.
• Nchini Tanzania idadi ya wabunge waliojitokeza kwajili ya kupewa chanjo Jijini Dodoma yasemekana kuwa ndogo -
• Mamlaka moja ya matibabu nchini Uingereza imeitaka serikali kupiga marufuku upasuaji wa ubikra , huku tukiuliza , Ni kwanini baadhi ya wanawake hutafuta upasuaji wa kurejesha ubikra?
Leo Jumatatu katika Dira ya Dunia , uko nami Anne Ngugi na mwenzangu ni Martha Saranga ni kuanzia saa kumi na mbili na nusu jioni.