Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Utopolo wa nini babuMarahaba sijambo mjukuu. Vipi sasa uko poa kabisa? Utopolo huo usirudie tena![]()

Nitapita hapo mtaani kwenu niwasalimie. Za masiku njema sana. Nimeishiwa ugoro lakini. Fanya namnaUtopolo wa nini babu
Mie niko poa babu
Za masiku?

Achana na ugoro...kunywa juisi ya mahindi babuNitapita hapo mtaani kwenu niwasalimie. Za masiku njema sana. Nimeishiwa ugoro lakini. Fanya namna

Kuna juisi ya ugali. Hiyo ya mahindi siifahamu. Ukiniletea nitashukuruAchana na ugoro...kunywa juisi ya mahindi babu![]()




Poz lina hamasisha hili
Utaipata ni TamiKuna juisi ya ugali. Hiyo ya mahindi siifahamu. Ukiniletea nitashukuru

Jamani siyo Mnyamwezi imekuwa Msukuma tena dah !