Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,706
- 6,941
YayagweeeeKwa jinsi 'trend' yako inavyoonyesha najua nitakukuta kule kwenye kufuka moshi tu![]()



....

Iwe hivyo basiYayagweeee....
ila mbinguni nitaingia najua![]()

Kimombo ndugu yangu. Hata Shakespeare akasome



Ulitaka akusevu mla mbwa au hakawii kujinyonga?


Imagine UKIMWI ulipokuja kama kungekuwa na hii mitandao sijui ingekuwaje!View attachment 1876984
Watu kuogopa vitu vipya na kutunga uongo haijaanza leo kwenye chanjo tu. Toka kitambo
Anataka amGeorge Floyd mwenzake? Safi sana!
Hapa treni inaweza kuanguka?
MmmhWanaume tufanye sana jamaniView attachment 1877395