Anashona suti za kiume, suruali na mashati aina zote)...
Namba: 255 870 614....
Wote mnakaribishwa....View attachment 1874930
Itakuwa ni Africa nzimaDr Godwin Mollel, hao watu bilioni moja walioomba chanjo ni kwa nchi nzima au Burigi peke yake?
![]()















Hawa Johnson ni brand kubwa, tukumbuke hata zile sumu ya kuulia mbu (It) pia wao ndio watengenezaji.Hii ni poda ya watoto na akina mama (talcum powder). Si ajabu hata sisi tuliitumia bila kujua. Hilo kampuni la Johnson and Johnson lilijua kwa miaka mingi kuwa poda hiyo inasababisha kansa ya kizazi (ovarian cancer) lakini likakaa kimya na kuendelea kupiga hela. Kuna kesi mamia zinaunguruma na wachambuzi wanasema zitagharimu mabilioni ya dola na kitengo husika cha kampuni hili kinaweza kufilisiwa. Ndiyo maana watu wana wasiwasi na chanjo yake ya Covid kwa sababu kampuni lenyewe lina bad reputation na haliaminiki!
Yaani yeye ni waziri wa afya wa Afrika nzima?Itakuwa ni Africa nzima![]()




Ndiyo. Wapo kila mahali. Mi sikujua kama pia wamo kwenye pharmaceuticals mpaka mwaka jana walipokuwa wanashitakiwa kwenye kesi ya opioids.Hawa Johnson ni brand kubwa, tukumbuke hata zile sumu ya kuulia mbu (It) pia wao ndio watengenezaji.
Mabaharia nyie wa kula kimasikhara siwaamini kabisa. Fundi wa watu msije mkaenda kumharibia kazi yake bure tuView attachment 1875166
Malizia namba tusave baharia....
