Dingi alikoseaga kunipa kumi akanipa miambili zilikuwa zinafanania weeee eeeee eeee siku hiyo nilihisi mwalim mkuu nalingana nae mshahara siku hiyo nikaajir mpka mabody guards na chenji ikabaki
Nimekosa tako !!!
Kuna shida gani hapa?Maajabu hayataishaView attachment 1867965View attachment 1867967
Kombe lenyewe bayaaa![]()

au siyo kama yanga angeshinda inamaana Simba alizidiwa mbinu uwanjani.wape pongezi wapinzani wako sawa
.Nipo porini huku hakuna hata mwenye tv
