Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1627214100084.jpg
 
Kombe lenyewe bayaaa[emoji57][emoji57][emoji57]

Hay ni maneno yako au kuna mtu mwengine kaandika? Mbona tulikubaliana lakini huu mchezo tu,mwisho kama tumeshindwa sisi mashabiki wa Yanga tuwape pongezi wapinzani walituzidi mbinu.Huu ni ushabiki [emoji16][emoji16] au siyo kama yanga angeshinda inamaana Simba alizidiwa mbinu uwanjani.wape pongezi wapinzani wako sawa[emoji106].
 
Back
Top Bottom