Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,083
- 6,234






Nisaidie ufafanuzi kidogo. Kwanini ilikuwa hivyo?
Hiyo picha ya juu nywele unazoziona ni za mwanamama aliye nyuma ya huyo black aliyevaa baseball T-shirt na hiyo ya chini ndiyo anachungulia na kuonekana na black kabaki na kipara chake kama kavuliwa wigi.Nisaidie ufafanuzi kidogo. Kwanini ilikuwa hivyo?
Swadakta!Hiyo picha ya juu nywele unazoziona ni za mwanamama aliye nyuma ya huyo black aliyevaa baseball T-shirt na hiyo ya chini ndiyo anachungulia na kuonekana na black kabaki na kipara chake kama kavuliwa wigi.
Hiyo picha ya juu nywele unazoziona ni za mwanamama aliye nyuma ya huyo black aliyevaa baseball T-shirt na hiyo ya chini ndiyo anachungulia na kuonekana na black kabaki na kipara chake kama kavuliwa wigi.
nimekuelewa mkuu ahsante
Duh, it took me few seconds to get the real shit.
"MBINGUNI HUKO"
Malaika: Bwana Taavid unazifahamu hizi namba?
Taavid:. Ndio
Malaika: Nenda kulee kwenye moshi moshi kuna kaka ana mapembe atakupangia kazi ya kufanya
View attachment 1864229


list itakuwa ndefu sana aiseee, hizo namba kuna mdau anafika mpaka page 223