Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

duuh!
FB_IMG_16267233055925870.jpg
 
Hana msimamo huyu. Kwanza mwanaume unamuombaje mwanamke msamaha?
Toka lini. Angesimamia kauli yake wananchi walikua wameshamuelewa.

Mtaka kanikera sana kuomba radhi,basi tu.
Mbona mwenzie Makonda tupo nae tu kitaa tunakula nae mahindi ya kupaka ndimu na pilipili na siku zinakata tu.
 
Back
Top Bottom