Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,297
- 21,699
Duuh wasukuma,mmezidiView attachment 1841541

Duuh wasukuma,mmezidiView attachment 1841541

Sadaka ni akibaLabda nitoe maoni, ila sadaka bado kwa kweli.
Picha la kihindi enzi za Shash KapoorHuku juu wala hakuna foleni,kanyaga twendeView attachment 1841562


Mimi huyo Jana baada ya dakika kumi tu
Hii ilikuwa kazi ngumu sana aisee. Sana sana hapo unaweza kuishia kuambulia kanga, gagulo au shanga na unaondoka ukiwa na furaha ajabu



Hata wewe mtaalam ulisumbuliwaHii ilikuwa kazi ngumu sana aisee. Sana sana hapo unaweza kuishia kuambulia kanga, gagulo au shanga na unaondoka ukiwa na furaha ajabu![]()


Mabinti wa Kisukuma walikuwa wagumu sana mkuu enzi zile. Yaani utazungushwa mpaka ukate tamaa tu. Halafu enzi zile tunakua eti ilikuwa hairuhusiwi kunyoa vuzi lile la kwanza baada ya kubalehe kama hujaonja mbususu. Ilikuwa inafikia mpaka mtu anachoka tu anatafuta hela anakwenda kujiripua kwenye mitaa ya Wah**ya...Hata wewe mtaalam ulisumbuliwa![]()
