Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

20210630_152603.jpg
 
Ni wangapi kwa utajiri duniani?
Elimu haina uhusiano na utajiri; na lengo la elimu siyo kuwatajirisha waipatayo (labda huku Afrika ambako elimu hii tuliletewa tu na hatujui hasa lengo lake ni nini). Kama unasoma ili utajirike unapoteza muda tu; na elimu ya form 6 inakutosha kabisa.

Mtu kama huyu simtegemei kuwa tajiri bali namtegemea kuwa ameandika vitabu na papers nyingi na ni mtu anayealikwa sana kwenye makongamano na mihadhara ya kitaaluma. Kazi yake kubwa ni kufanya utafiti, kuandika mawazo yake na kurithisha maarifa yake kwa vizazi vijavyo....
 
Elimu haina uhusiano na utajiri; na lengo la elimu siyo kuwatajirisha waipatayo (labda huku Afrika ambako elimu hii tuliletewa tu na hatujui hasa lengo lake ni nini). Kama unasoma ili utajirike unapoteza muda tu; na elimu ya form 6 inakutosha kabisa.

Mtu kama huyu simtegemei kuwa tajiri bali namtegemea kuwa ameandika vitabu na papers nyingi na ni mtu anayealikwa sana kwenye makongamano na mihadhara ya kitaaluma. Kazi yake kubwa ni kufanya utafiti, kuandika mawazo yake na kurithisha maarifa yake kwa vizazi vijavyo....
Anapata pesa lakini au kujitolea?
 
Back
Top Bottom