Hapa Chuganians hawachomoki.
Mie ningeviumba vifupi vifupi ili udongo utoshe nitoe viwili sio mmoja
Viwili hairuhusiwi mkuuMie ningeviumba vifupi vifupi ili udongo utoshe nitoe viwili sio mmoja


Mkuu, kwa heshima kabisa, naomba kujua jinsia yako


Kwanini??Mkuu, kwa heshima kabisa, naomba kujua jinsia yako![]()
Nataka kukuibukia PMKwanini??



Nataka kukuibukia PM
On a serious note, nimeona mahali mtu amekurefer kama ke wakati miye siku zote nafikiri we ni me...

duuh kumbe waniona hivyo??Nisamehe mkuu. Mambo ya mitandaoni humu ni mengiduuh kumbe waniona hivyo??
PW.Nisamehe mkuu. Mambo ya mitandaoni humu ni mengi