Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Alafu ukimwacha, anatoka na mhudumu mmoja ambaye ni dadako wa damu! Bado usemi uko valid!? 🤣 🤣 🤣 🤣Huo ndo muda wa kukumbuka ule usemi wa "muache aende"🤣
Alafu ukimwacha, anatoka na mhudumu mmoja ambaye ni dadako wa damu! Bado usemi uko valid!? 🤣 🤣 🤣 🤣Huo ndo muda wa kukumbuka ule usemi wa "muache aende"🤣
Hehj hfdbbs yddjkAlafu ukimwacha, anatoka na mhudumu mmoja ambaye ni dadako wa damu! Bado usemi uko valid!? 🤣 🤣 🤣 🤣
Huo mhindi mbona haujaiva sehemu zote 🤣Nilijifunza kuvusha watu kwenye maji kwakuwa aliniambia anatokea visiwani, nilijitahidi kula mahindi na kubeba mizigo ili ujue mm ni msukuma lakn bado akaniachaView attachment 1824690View attachment 1824692View attachment 1824693
Mie nazimia hapo hapoNawabwaga![]()

Nadhani hii inaashiria zaidi tabia yetu ya kuwa na wanasiasa malaya malaya (in Mwl. Nyerere's voice) tu wanaopambania matumbo yao na si kingineMnyonge mnyongeniView attachment 1826620


