Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
😂 😂 😂Mpaka leo huwa sishibi chapo pamoja na kwamba zipo kote, nazipenda sana na huu utashi ulitokana na huo uhaba wa enzi hizo.
😂 😂 😂Mpaka leo huwa sishibi chapo pamoja na kwamba zipo kote, nazipenda sana na huu utashi ulitokana na huo uhaba wa enzi hizo.
Hahahaaa wana matusi sana na mie niliona huo Uzi alimwambia viringisha hiyo million 2 kama sigara halafu sokomeza huko😂😂😂😂😂 Kuna jamaa alileta uzi akasema baada ya kumjibu vibaya tapeli kama ulivyofanya ww, tapeli akamuambia jamaa kwamba hizo pesa nilizokutumia ukishazitoa uziviringishe utengeneze mduara halafu ujiingizie mku*ndun!
🤣🤣Ule uzi nilicheka sanaHahahaaa wana matusi sana na mie niliona huo Uzi alimwambia viringisha hiyo million 2 kama sigara halafu sokomeza huko😂😂
Unazo nizame PM?View attachment 1820236
Picha hazifai kuweka hapa
Muimba singel
Huyu dogo naye anahangaika sana. Atulie asome upepo unavyokwenda. Kama ni uwaziri anatafuta ataupata tu lakini siyo kwa staili hii.
Kimbaumbau atulize boli japo hali ni tete kama mzee anapenda misambwanda. Hapa nilipopanga pia tuna huu mtihani ila tushazoea sema ukiuona kwenye kitenge ndo tatizo
HahahaaaaHawanaga aibu siku hizi!
View attachment 1820292
Kiti kinafaudu aiseeKimbaumbau atulize boli japo hali ni tete kama mzee anapenda misambwanda. Hapa nilipopanga pia tuna huu mtihani ila tushazoea sema ukiuona kwenye kitenge ndo tatizo
View attachment 1820513