Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,974
- 8,115
Kuna watu ni wawazi mpaka wanatishaView attachment 1816267
Kujiongeza muhimu
Kawaida tu. Ndiyo maana tunasema lugha ni sauti za nasibu tu na kitajwa na kirejelewa havina uhusiano wa moja kwa moja. Kwa hivyo kila jamii-lugha ina uhuru wa kukiita kitu cho chote kile itakavyopenda.Hapa lazma kuna mkono wa mswahili. USA hii alafu Jamba lenyewe?
View attachment 1816299
View attachment 1816300