EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
Mkuu tupendane bn dunian tunapita sipend kuona mtu anamnyanyasa mwingine wakat uwezo wa kumsaidia anaoDaaah...! Dogo umekomaa kumtongozea mwenzio. Acha apambane mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu anaeomba hatamaliza sio? Atapitia tu,atapata furaha (raha) ya alichokitaka,then anasepa? Anachokililia huyo dogo anacho mane eti?Mkuu tupendane bn dunian tunapita sipend kuona mtu anamnyanyasa mwingine wakat uwezo wa kumsaidia anao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako pia madame ..habari ya weweHappy Valentine kwako Hearly
Hahaa
Ahahaaa...! Acha masihara Numb. Kwamba jamaa mwenye nyumba,anapenda kuishi Tz,ila shida ni moja tu kwake sheria ya mirungi Tz? Akaamua kufanya kitu wonders,mguu mmoja kenya,mguu ingine Tz. Duuuh...! AmeuaFAHAMU: Hii nyumba ipo wilayani Mkinga(Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Chumba kimoja kipo Kenya na chumba kingine kipo Tanzania (aliposimama NW Dkt. Damas Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya na askari wa Tanzania hawamfanyi kitu.View attachment 1022141
😂😂😂😂😂...ngoja nikae kimya
Ndiyo anacho ManeKwa sababu anaeomba hatamaliza sio? Atapitia tu,atapata furaha (raha) ya alichokitaka,then anasepa? Anachokililia huyo dogo anacho mane eti?
Sent using Jamii Forums mobile app