Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,539
- 12,943
Mama aliyembeba yuleeee! Duh! 😂Mtu anauzwa hapo View attachment 1803331
Mama aliyembeba yuleeee! Duh! 😂Mtu anauzwa hapo View attachment 1803331
Bride price haina tofauti na slave tradeHehehe!! Yaani anauzwa kama mfugo, Afrika bana....
Hana mamlaka hapoMama aliyembeba yuleeee! Duh! 😂
Angekuwa Japan angepewa mafunzo ya kuwa Sumo wrestler manake ashaanza kuwa na mwili huo..Ni mcheza mieleka?
Ukivaa hivi, either nikutoroke au usikae karibu yangu. Utaniabisha kwa watoto(pisi kali) wakipita! 🤣 🤣 🤣
Hapo sio bar??? 😂
Aiseee, samutaimuzi nchi yetu huwa inaprodyuzi wa ajabu sana
Mzee atamkatia robo share baadaye wakiwa chemba! 🤣Hana mamlaka hapo
🤣🤣🤣Ukivaa hivi, either nikutoroke au usikae karibu yangu. Utaniabisha kwa watoto(pisi kali) wakipita! 🤣 🤣 🤣
Halafu hivi kule kwa wazungu, jamaa hutoa mahari kweli, mi sijashuhudia hiyo maneno!?? 🤣Bride price haina tofauti na slave trade
Facts! 🤔👌Hiki siyo kituko, ukweli kabisaView attachment 1803528
Ngoja wanaojua watupe mwongozo,huku kwetu daah shangazi, mjomba, bibi yaani wote madalali, mlolongo wote huo na ndiyo chanzo cha hata mahari kuwa kubwa ili kuwa include wote angalau wapate mgaoHalafu hivi kule kwa wazungu, jamaa hutoa mahari kweli, mi sijashuhudia hiyo maneno!?? 🤣
YeahFacts! 🤔👌
Kweli hata kwetu same thing, lakini from my migratory experience, sijapata kuona kabisa wazungu haswa, wakifanya haya, maybe kwa siri, sijui, wacha waje watueleze!Ngoja wanaojua watupe mwongozo,huku kwetu daah shangazi, mjomba, bibi yaani wote madalali, mlolongo wote huo na ndiyo chanzo cha hata mahari kuwa kubwa ili kuwa include wote angalau wapate mgao
Na kwasasa ndiyo kikwazo kikubwa kwa vijana kuoa kwa kifuata utaratibuKweli hata kwetu same thing, lakini from my migratory experience, sijapata kuona kabisa wazungu haswa, wakifanya haya, maybe kwa siri, sijui, wacha waje watueleze!
Mitoto yenyewe haisikii, alafu uone mzee ywakuitisha kitita ka chote, mh, bora uhai! 😬Na kwasasa ndiyo kikwazo kikubwa kwa vijana kuoa kwa kifuata utaratibu
🤣🤣🤣Mitoto yenyewe haisikii, alafu uone mzee ywakuitisha kitita ka chote, mh, bora uhai! 😬