Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1622066820026.jpg
 
Samaki huyu anayedhaniwa kuwa na sura mbaya kuliko wote anaishi kwenye maji yenye kina cha kuanzia futi 2000 mpaka 4000.
Akiwa ndani ya maji anakuwa na muonekano wa kawaida, akitolewa anapata muonekano wa kutisha.
FB_IMG_1622058952364.jpg
FB_IMG_1622058940535.jpg
 
Back
Top Bottom