Cymon Taylor
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,754
- 3,427
Dah! Hii pc imenifanya nifikiri sana! Huyu mwamba namkubali sana
Dah! Hii pc imenifanya nifikiri sana! Huyu mwamba namkubali sana
Imefanana kweli na hiyo mtungi kama mtu na brother yake.
Ndio na mimi ni Mnyaki... naomba hayo maparachichi nishushie matoki yanguNa wewe ni Mnyaki mkuu?
Ukitaka hivi Vijinga vishibe inabidi ufuate vinataka nini. Mwingine umeshika tonge anakukimbia anataka mkimbizane. Mziki uwe umechoka unaweza mzaba kibao na biashara ya Kula ndio mwisho.Huyu Mama ni noma sana!💪💪💪
Kwani dereva wao yuko wapi?



