Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Dunia ina mambo
M kvooni hatari kuna kipindi yalinyonya damuNdugu Mgirik kwakupitia wewe niwatake radhi wote hupa jukwaani kwakuchanganya mambo. Jana nilipiga K Vant za kutosha.....sasa wakati napost akili ilikuwa likizo kabisa. Nisameheni sana. Ila nimeshazipeleka maeneo husika.
Kumradhi wanajamvi.
Anajiua mwenyewe wala hajamkomoa x wakeDunia ina mambo View attachment 1791402



usimvunjie heshima Tbag ww ,,, muhuni sana uyo mwamba
Mapema tuu wakwe wanakupa mtoto kwa uelezaji wa namna hiiView attachment 1791396




T-bag mnyama sanausimvunjie heshima Tbag ww ,,, muhuni sana uyo mwamba


John hafai...yaani hafai !!!
View attachment 1791369



....umenikumbusha karibu

Ungemuongezea nyingine kaka...shida iko wapi.