Hujawahi kuta maandamano, fujo, vurugu ya akina mama huko uswahilini wakitaka kuwekewa matuta baada mtoto kugongwa na gari hapo mtaani?
Mtakaa barabarani hapo masaa kadhaa, barabara imefungwa, mpaka wafike FFU mahali hapo kuja kuondoa magogo yaliyowekwa.
Baada siku chache utakuta bonge la tuta mahali hapo.
Masaki, Osterbay, upanga na ushuani kote huwezi kukuta mambo hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.