Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

IMG_1102.jpg
 
afu kwani umefanyaje mkuu?, nikiclick hizo highlighted words ndiyo naona username zetu
Ujue ulivyoongea hapa, ndiyo na mimi nikaenda kuchungulia. Kwa kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani
Nimeshangaa nikiclick "Mbeya" inatokeza Heaven sent hee nikaclick "makanisa" naona ndugu yetu karma duh "mengi" eti ni financial services jamani msukuma mjanja sasa ataturingiaa

SHIMBA YA BUYENZE
Tutapata tabu mbona na msukuma mweeh
Nilikuwa nawachokoza tu nyie Wanyaki watani zangu jamani. Nina hamu ya kufika Mbeya siku moja. Bila shaka mtakuwa wenyeji wazuri
 
Back
Top Bottom