Usiombee Ifikee Jumapili makelele yake sasa 😂😂😂Kule makanisa kama yoye. Kila mtaa unamakanisa na sehemu nyingine kila baada ya nyumba 3 unakuta kanisa la mabati au turubai.
Relax amigo. We just chill'n hereSukuma Gang bado mnademka tu? Hanyantuki tena yule dhalim



Kamanda ushindweee !!!Wasukuma hamtaki kuachwa nyumaView attachment 1789216
afu kwani umefanyaje mkuu?, nikiclick hizo highlighted words ndiyo naona username zetu
![]()
Ujue ulivyoongea hapa, ndiyo na mimi nikaenda kuchungulia. Kwa kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani![]()
Nimeshangaa nikiclick "Mbeya" inatokeza Heaven sent hee nikaclick "makanisa" naona ndugu yetu karma duh "mengi" eti ni financial services jamanimsukuma mjanja sasa ataturingiaa
SHIMBA YA BUYENZE
Nilikuwa nawachokoza tu nyie Wanyaki watani zangu jamani. Nina hamu ya kufika Mbeya siku moja. Bila shaka mtakuwa wenyeji wazuriTutapata tabu mbona na msukuma mweeh![]()

Ukiwa huna pesa hata ukiongea point kwenye kikao cha familia utaonekana unataka kuanzisha vurugu😀😀🙌
Karibu sana mkuu, tutafurahi kukuona , tutakuandalia "makatapela na mbalagha" na "cheka na watoto" a.k.a wali😀Nilikuwa nawachokoza tu nyie Wanyaki watani zangu jamani. Nina hamu ya kufika Mbeya siku moja. Bila shaka mtakuwa wenyeji wazuri![]()
Nilikuwa nawachokoza tu nyie Wanyaki watani zangu jamani. Nina hamu ya kufika Mbeya siku moja. Bila shaka mtakuwa wenyeji wazuri![]()
Karibu sana mkuu, tutafurahi kukuona , tutakuandalia "makatapela na mbalagha" na "cheka na watoto" a.k.a wali![]()
Asanteni sana Wanyaki. Cha muhimu tu ugali (tena ule mgumu wa Kisukuma) usikosekane!Karibu sana Mtumishi, hakika wanyaki tutakukarimu, utajihisi upo usukumani
Asanteni sana Wanyaki. Cha muhimu tu ugali (tena ule mgumu wa Kisukuma) usikosekane!
😂😂😂 ukivaa suti siku ya j2 utaitwa mtumishi kila unakopita.Usiombee Ifikee Jumapili makelele yake sasa 😂😂😂