Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,382
Na ukijichanganya unaweza kuchanika, kujiletea hernia na hata kuRIP kabisa. Muziki wa mapera na ugali wa mtama si wa kitotoitakufanya ukae chooni masaaa!



Na ukijichanganya unaweza kuchanika, kujiletea hernia na hata kuRIP kabisa. Muziki wa mapera na ugali wa mtama si wa kitotoitakufanya ukae chooni masaaa!



Ila mimi huwa nayapenda sanaNa ukijichanganya unaweza kuchanika, kujiletea hernia na hata kuRIP kabisa. Muziki wa mapera na ugali wa mtama si wa kitoto![]()

Huyu Mama namjua.Ni wa hapahapa jukwaani!😄😄😄
Hii inshu ni ya kweli jamani,? Kutoka kigoma hadi dar kwa miguu?Mwanariadha aliyekimbia toka Kigoma akutana na uongozi wa Yanga View attachment 1779320
