moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,152
- 770,267
Cheka unenepeNimechekaa sana
Cheka unenepeNimechekaa sana
Hii ni kweli kabisa. Nina ushahidi wa kutosha



Hao ndo waanzilishi wa Uwabata




Huu utaratibu wa kumshika hivi mikono Mama yetu watanzania tunaukataa,kwani hawezi kumsalimia kawaida jamani?Wakenya wanatutafuta


Naunga mkono hojaHuu utaratibu wa kumshika hivi mikono Mama yetu watanzania tunaukataa,kwani hawezi kumsalimia kawaida jamani?Wakenya wanatutafuta
Nashauri 'country boy' awe anasafiri nae aisee!



Typos hata kwenye meme ya sentensi moja. Eti muarifu
