Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383





Jibu ni C ,, Sh.100
Utafiti kutoka wapi huu, hahaha
Sayansi ya kweli ilikufa na akina Isaka Niutoni. Siku hizi anayetoa pesa kudhamini utafiti ndiye anayeamua kuhusu matokeo ya utafiti huo. Ndiyo maana usishangae leo ukisikia utafiti unasema eti kahawa inasababisha kansa halafu kesho tena utafiti mwingine unasema kahawa ni salama na wanywa kahawa huishi maisha marefu...Hata kwenye hili suala la CHAPUTA ni hivyo hivyo....Utafiti kutoka wapi huu, hahaha





