Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Siyo ujinga. Ni sehemu ya muhimu ya kutolea stress na kujumuika na washikaji. Kujenga urafiki, kujifunza na mengineyo mengi. Huwezi kuelewa umuhimu wa vijiwe mpaka siku moja ukienda kwenye jamii ambazo hazina social life kama huko kwa wazungu huko. Vijiwe aisee ni muhimu sana tena mno...na ni dhana ile ile. Kuna vijiwe vya kucheza golf. Kucheza draft. Vya kahawa na tangawizi...na hivi vya masela kufungana kamba na kucheka. Vyote vina faida yake!Kama kuna sehem tunajazana ujinga basi ni vijiweni![]()




