Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Bongo zuzu
Screenshot_20210316-170408.jpg
 
Nje ya mada,wakuu naomba nielekezwe namna ya ku-set off hii kitu,inani-bore kinyama yani.View attachment 1727232

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
Kama unatumia app, nenda kwenye settings halafu click mahali panaposema signature. Ukishafika hapo, turn it off. JF wenyewe wamei-turn off automatically ila kuna wakati huwa inafufuka tu unajikuta mtu unautangazia ulimwengu simu unayotumia hata bila kujua.

Kama unatumia web nenda kwenye signature napo ukafanye vivyo hivyo. Turn it off.
 
Back
Top Bottom