Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Screenshot_20210315-181943.png

Ukisikia mtu anasema "Niko kwenye wakati mgumu"
 
This IS NOT OK. These are innocent kids. Just remove it...

Picha kama hii ukidakwa nayo kwenye simu au kompyuta yako huko kwa wenzetu inatosha kukuharibia maisha.
Hii unaweza kuiweka kundi la Child Pornography kweli??? Labda kama na wewe ni Pedo

BTW huko kwa wenzetu unayoyaona makubwa huku ni madogo sana, Au yakawa madogo huko halafu huku makubwa(Kwenye swala la Picha na consent za wapigwa picha/ content ya hiyo picha)

Hata hivyo kwa heshima ya JF naitoa mkuu. Asante kwa ushauri
 
Hii unaweza kuiweka kundi la Child Pornography kweli??? Labda kama na wewe ni Pedo

BTW huko kwa wenzetu unayoyaona makubwa huku ni madogo sana, Au yakawa madogo huko halafu huku makubwa(Kwenye swala la Picha na consent za wapigwa picha/ content ya hiyo picha)

Hata hivyo kwa heshima ya JF naitoa mkuu. Asante kwa ushauri
Asante japo umehakikisha kuwa umenirushia dongo kwanza. Wabongo bana sijui tukoje.

Picha hiyo hata kwa sheria yetu ya makosa ya mtandaoni tu hapa nchini inakutia hatiani; na haina dhumuni lo lote jingine mbali na kuwadhalilisha hao malaika ambao hata hawajui walifanyalo. Hata usingeitoa, mods wangeiondoa tu.

Haya tusonge mbele kamanda
 
Asante japo umehakikisha kuwa umenirushia dongo kwanza. Wabongo bana sijui tukoje.

Picha hiyo hata kwa sheria yetu ya makosa ya mtandaoni tu hapa nchini inakutia hatiani; na haina dhumuni lo lote jingine mbali na kuwadhalilisha hao malaika ambao hata hawajui walifanyalo. Hata usingeitoa, mods wangeiondoa tu.

Haya tusonge mbele kamanda
Hahahaaa kumbe unatujua wabongo sio??

Pamoja sana
 
Back
Top Bottom