Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Chezea fundi Maiko ww
Screenshot_20210314-182936~2.jpg
 
Mmhhh. Kuna story niliwahi kusoma zamani kwenye gazeti. Bi arusi alikufa baada ya kama week baada ya kutolewa izo kucha za kubandika vibaya nafkiri sijui alipata tetanus.
Hiyo stori mi pia nilisoma.
Alikuwa bint pekee wa mama furani, alibandikwa hayo maplastiki na super glue, zikanyofoka kwa staili kama hiyo, akapata tetenus, kesho yake akafariki.
 
Back
Top Bottom