minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,750
- 4,948
Hiyo stori mi pia nilisoma.Mmhhh. Kuna story niliwahi kusoma zamani kwenye gazeti. Bi arusi alikufa baada ya kama week baada ya kutolewa izo kucha za kubandika vibaya nafkiri sijui alipata tetanus.
Itabidi tuanze kuombana Hela wenyewe kwa wenyewe sasa. Tatizo lishakuwa kubwa



Wadangaji wanamvizia