Haya ni matumizi mabaya ya fedha... Wana UWABATA naomba ridhaa yenu kwenye kikao kijacho niinyooshe taasisi hii.. sio haja ya kulipa rent kwenye jengo kubwa kiasi hiki... Tungeendelea kuweka meza yetu chini ya mti na ofisi za mikoa tutafute vitambulisho vya elfu ishirini tutafute eneo tuweke meza kila wilaya.
Mnipe niinyooshe taasisi hii..kwa miaka mitano.
Haya ni matumizi mabaya ya fedha... Wana UWABATA naomba ridhaa yenu kwenye kikao kijacho niinyooshe taasisi hii.. sio haja ya kulipa rent kwenye jengo kubwa kiasi hiki... Tungeendelea kuweka meza yetu chini ya mti na ofisi za mikoa tutafute vitambulisho vya elfu ishirini tutafute eneo tuweke meza kila wilaya.
Mnipe niinyooshe taasisi hii..kwa miaka mitano.

Ndo kwa namna hiyo tunakuja eti tunaunda chama.
Mkinipa nafasi ya kuwaongoza.. nitawapelekea mahali waliko sio mmoja wala wawili.. ila wote mnaowahitaji.. tena wanyenyekevu mno..
Hakuna cha suit hapo bro, CHURA ndiyo habari ya mjini

bro mimi nimevutiwa na hiyo suti ya mzee hapoSafi sana hii.Comments za wananzengo sasa uwiii. Jamaa mmoja kasema eti na sisi Bongo tulirusha sana habari za mauaji yake hivyo lazima tupate mgao. Mwingine kasema anahama na familia yake aende huko majuu akauliwe ili familia yake walipwe fidia
View attachment 1724842


Haya sasa wale mliokuwa mnataka namba ya wema.