H pic naipenda sana, ad mara ya kwanza kuiona ikabidi niweke kama avatar yangu



Lazima wakushangae maana mzee baba alisema hakuna coronaMechi ya Man Utd vs Chelsea, nilienda kuangalia mpira pale Throne Bet Buza kwa Lulenge.
Nimeingia ndio watu nyomi wananishangaa mimi pekee ndiye nimevaa barakoa.

H pic naipenda sana, ad mara ya kwanza kuiona ikabidi niweke kama avatar yangu

umeipendea nini mkuu, au inakukumbusha majanga?!Yn sina sababu ya kuipenda ila nafurahi kila nikiionaumeipendea nini mkuu, au inakukumbusha majanga?!
Pamoja mkuuYn sina sababu ya kuipenda ila nafurahi kila nikiiona
