CHIBURABANU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 2,915
- 3,475
Wanaume hoyee,Mungu aendelee kutubariki kwa kwelu,ukute ndo umejaliwaa kupangilia nondo dah yani hata wale watoto Wa Yoweri kaguta museveni hawachomoi.Simbaaaaaaaaaaaaa.......
Nimejikuta wakati natabasamu macho yametengeneza taswira ya kopa 😍😍😍😍
Aahahahahahaaa nnavopenda safari mie, ukisema tuu unakuja kunichukua na gari halafu unaendesha hadi Misungwi kwa mama mkwe, naanzaje kuchomoka hapo sasa....😅
Yaani ndo ushanitega tayari, looh
Kasinde mie kwisha habari yangu 🤩🤩😉.



